Kassam feat. Platform - Hapa
текст песни
3
0 человек. считает текст песни верным
0 человек считают текст песни неверным
Kassam feat. Platform - Hapa - оригинальный текст песни, перевод, видео
- Текст
- Перевод
mmmmmh
Ati hakinai yangu mapenzi na ujuzi moyoni
nisalama
Yanii nipo kati na yeye kashanidhibiti mwingine wa nini
waniniiii
Leo sitaki penzi araka araka.
tufanye taratibu.
Leo tusitokwe jasho,
yaani taratibu.
tena tusiyafumbe macho,tutazamane Kwa ukaribu.
alafu nambie ukipendacho.
nianze shingo ama mbavu.
Kwa moyo wangu uko hapa.
hapa,hapa,hapa.
ah upo hapa
hapa,hapa.
kwa mtima umejaa
hapa,hapa,hapa.
eeeh aah upo hapa
hapa,hapa,hapa.
Kwa moyo wangu uko hapa.
hapa, hapa, hapa.
hapa,hapa.
hapa,hapa,hapa.
...............(instrument playing)
kassam
acha nikwambie,hizi hisia.
me nakupenda sana,na nimekuridhia.
wewe bila mie, mapenzi hakuna.
na tutachopanda ndo tutachovuna.
eeh,eeh
nikuache Mimi labda nimerogwa.
kichwani mwangu umenijaa.
ooh,ooh aah nakuota.
nikilala me nakuota.
sitaki penzi araka araka,
tufanye taratibu,
Leo tusitokwe jasho,
yaani taratibu.
tena tusiyafumbe macho,tutazamane Kwa ukaribu.
halafu nambie ukipendacho,
nianze shingo ama mbavu.
Kwa moyo wangu uko hapa,
hapa,hapa, hapa,
hapa, hapa,
hapa,hapa, hapa,
Kwa moyo wangu uko hapa,
hapa,hapa,hapa,
hapa,hapa.
hapa,hapa,hapa.
...............(instrument)
Ati hakinai yangu mapenzi na ujuzi moyoni
nisalama
Yanii nipo kati na yeye kashanidhibiti mwingine wa nini
waniniiii
Leo sitaki penzi araka araka.
tufanye taratibu.
Leo tusitokwe jasho,
yaani taratibu.
tena tusiyafumbe macho,tutazamane Kwa ukaribu.
alafu nambie ukipendacho.
nianze shingo ama mbavu.
Kwa moyo wangu uko hapa.
hapa,hapa,hapa.
ah upo hapa
hapa,hapa.
kwa mtima umejaa
hapa,hapa,hapa.
eeeh aah upo hapa
hapa,hapa,hapa.
Kwa moyo wangu uko hapa.
hapa, hapa, hapa.
hapa,hapa.
hapa,hapa,hapa.
...............(instrument playing)
kassam
acha nikwambie,hizi hisia.
me nakupenda sana,na nimekuridhia.
wewe bila mie, mapenzi hakuna.
na tutachopanda ndo tutachovuna.
eeh,eeh
nikuache Mimi labda nimerogwa.
kichwani mwangu umenijaa.
ooh,ooh aah nakuota.
nikilala me nakuota.
sitaki penzi araka araka,
tufanye taratibu,
Leo tusitokwe jasho,
yaani taratibu.
tena tusiyafumbe macho,tutazamane Kwa ukaribu.
halafu nambie ukipendacho,
nianze shingo ama mbavu.
Kwa moyo wangu uko hapa,
hapa,hapa, hapa,
hapa, hapa,
hapa,hapa, hapa,
Kwa moyo wangu uko hapa,
hapa,hapa,hapa,
hapa,hapa.
hapa,hapa,hapa.
...............(instrument)